Sep 22, 2016

Posted by Dismas Ten Thursday, September 22, 2016 No comments
MCHEZO wa  ligi kuu ya soka Tanzania bara kati ya Mbeya City fc na Tanzania  Prison  uliochezwa kwenye uwanja wa Sokoine  jijini Mbeya  umemalizika kwa  suluhu ya bila  kufungana. Kwenye mchezo huo uliokuwa wa vuta nikuvute, timu zote  zilishambuliana kwa...

Aug 21, 2013

Posted by Dismas Ten Wednesday, August 21, 2013 No comments
          Nyota wa Man U anayepewa nafasi ya kuibuka mfungaji bora wa ligi kuu msimu huu Mapema wiki iliyopita nyota wa Manchester United Mholanzi Robin Van Persie alidhihirisha Ubora wake baata ya kufunga moja ya mabao muhimu kwa timu yake katika...

Oct 23, 2012

Posted by Dismas Ten Tuesday, October 23, 2012 No comments
 Michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom kuwania ubingwa wa Tanzania Bara inaendelea kesho (Oktoba 24 mwaka huu) kwa mechi nne za raundi ya tisa huku Azam ikiusaka usukani wa ligi hiyo ikiwa mwenyeji wa Ruvu Shooting.   Mechi hiyo namba 60 ambayo kama Azam itashinda itafikisha pointi 20,...

Sep 13, 2012

Posted by Dismas Ten Thursday, September 13, 2012 No comments
Meneja masoko wa Grandmalt, Fimbo Butala (katikati) akiwa na Naibu Katibu Mkuu wa ZFA, Masoud Attai Masoud na Mwanasheria wa ZFA katika picha ya pamoja na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya Zanzibar mara baada ya kukamilika kwa semina ya wanahabari kuhusu ligi kuu ya soka ya Grandmalt...

TAFUTA HAPA

UNGANA NASI

Delicious Digg Facebook Favorites More Stumbleupon Twitter