Sep 25, 2009

Posted by Dismas Ten Friday, September 25, 2009 No comments

Nyota wa klabu ya Real Madrid Cristiano Ronaldo amekuwa mchezaji wa kwanza toka kuanzishwa kwa timu hiyo kwa kuweka rekodi ya kunga mabao 4 kwenye mechi nne mfululizo za mwanzo wa ligi ya la liga Mashabiki wa Real wanaonyesha kumuunga mkono mkali huyu wa kupachika mabao mwenye kiu kubwa ya kuwa mfungaji bora akiwa na timu hiyo msimu huu

0 COMMENTS:

TAFUTA HAPA

UNGANA NASI

Delicious Digg Facebook Favorites More Stumbleupon Twitter