Dec 23, 2009

Posted by Dismas Ten in | Wednesday, December 23, 2009 No comments

Kijana mmoja maarufu kwa maonyesho ya maigizo nchini Canada, Sunday Kewel ameoteza maisha baada ya kamba aliyokuwa anaitumia kuigiza kaka mtu alijinyonga kumnyoga kweli na kuaga dunia

Ishu hiyo ilitokea kwenye onyesho lililofanyika wiki iliyopita kwenye ukumbi wa Otawa Theater uliopo jiini Otawa

Imeelezwa kuwa licha ya Sunday luonyeshs kali ya kutatapa lakini mashabiki waliokuwa wakishuudia waliendelea kumshangilia kwa kumpigia makofi na kusema anapatia sana kuigiza kama mtu aliyejinyonga bila kujua kuwa Sunday yuko kwenye hatua za kukata roho kutokana na kamba aliyokuwa akitumia kumnyonga kikweli

Mara baada ya kuona kijana Sunday ametulia tuli mashabaiki hao wa maigizo walinyamaza na kuanza kutahari kutaka kujua nini kinaendelea na ndipo msaidizi wa kijana huyo alipokwenda kumngusa na kutambua kuwa ameshakufa.

Baada ya kuataarifiawa hilo mashabiki hao walianza kupiga mayowe ya kumlilia Sunday na muda mfupi baadae polisi walifika na kutuliza taharuki hiyo na kuuchukua mwili wa marehemu.

0 COMMENTS:

TAFUTA HAPA

UNGANA NASI

Delicious Digg Facebook Favorites More Stumbleupon Twitter