Akizungumza na Blog hii mapema Leo mkwasa amesema kuwa kilichotokea ni hali ya mchezo huku akisisitiza kuwa kuwa huu siyo tena wakati wa kutupiana lawama na kutafuta mchawi kilichobaki ni kujipanga kwa mashindano mengine yatakayofuata siku za usoni.
"Si jambo jema kuwalaum wachezaji kwa kilichotokea, ni jambo linalouma kuona tumeshindwa kufuzu wakati tulihitaji bao moja tu kukata tiketi, huo ndoio mchezo wa soka sitaki kutupa lawama kwa yoyote, kilichobaki ni kujipaga kwa michuno mingine itakayofuata hapoa baadae" alisema Mkwasa kwa masikitiko makubwa










0 COMMENTS:
Post a Comment