Sep 24, 2009

Posted by Dismas Ten Thursday, September 24, 2009 No comments

Kamati ya Nidhamu ya shirikisho la soka Tanzania (TFF) imetumpilia mbari rufaa iliyowasdilishwa na klabu ya Yanga kupinga usajiri wa mchezaji Uhuru Suleiman

Rufaa hiyo ya Yanga ilikuwa inapinga mchezaji huyo aliyeichezea timu ya Mtibwa Sugar ya Manungu mkioani Morogoro msimu uliopita kuwa amesajiriwa nje ya mda uliowekwa na shirikisho hilo

Kwa kifupi ni kwamba rufaa ya Yanga imetupiliwa mbali na matokeo ya viwanjani yatabaki vilevile alisema mmoja wa wajumbe wa kamati hiyo inayoongozwa na kamanda mstaafu wa kanda maalum ya polisi ya mkoa wa Dar es Salaam Alfred Tibaigana

0 COMMENTS:

TAFUTA HAPA

UNGANA NASI

Delicious Digg Facebook Favorites More Stumbleupon Twitter