Sep 24, 2009

Posted by Dismas Ten Thursday, September 24, 2009 No comments

KWA WALE WANAPENDA KU-RIDE NA KUPIGA MISELE MCHUMA MPYA AINA TESLA

Hili ni mingoni mwa magari ya kisasa kabisa yaliyokuwa yakifanyiwa uzinduzi mapema mwezi huu kwenye soko la jijini New York Marekani

kwa hapa bongo kama utapenda kuumiliki mkoko huu wa kutanulia wasliana na Mr Dunson Herman 0712 548071

Yaliyomo 1. Full Ac.
2. Dvd & Tv Radio
3.Open Roof
4. 380 kph
5. Na mambo mengine kibao
kwa vijana na wazee wanjanja na wapenda kujiachia huu ni mkoko mabao hutakiwi kuukosa na weka historia ya kuwa mtu wa kwanza kumiliki aina hii ya gari ambayo hapa Town utakuwa peke yako hakuna wa kujilinganisha nae

0 COMMENTS:

TAFUTA HAPA

UNGANA NASI

Delicious Digg Facebook Favorites More Stumbleupon Twitter