Feb 1, 2012

Posted by Dismas Ten Wednesday, February 01, 2012 No comments
Licha ya ubora wa kiosi cha timu ya JKT ORJORO hivi sasa msemaji wa klabu ya Simba, Ezekiel Kamwaga amejinasibu kuwa wataibuka na ushindi mnono kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara unaotarajiwa kupigwa leo kwenye uwanja wa Taifa Jijini Dar Es Salaam.

Akizungumza na SLT muda mfupi uliyopita kwenye hotel ya Lamada jijini , Kamwaga amesema kuwa wanafahamu ubora wa timu wanayokwenda kucheza nayo lakini maelekezo mazuri waliopata wachezaji wake kutoka kwa Mwalimu Milovan anaimani kubwa yakikosi chao kuibuka na ushindi mnono.


"NI wazuri, tunafahamu hilo, lakini mipango mizuri ya mwalimu wetu na mwitikio wa wachezaji kwenye mazoezi wanayopewa nina uhakiaka leo JKT hawatoki na tutaibuka na ushindi mnono alisema" Kamwaga
Wachezaji wa Simba wakishangilia moja ya mabao waliyofunga katika mechi za Ligi ya Vodacom

0 COMMENTS:

TAFUTA HAPA

UNGANA NASI

Delicious Digg Facebook Favorites More Stumbleupon Twitter