May 7, 2012

Posted by Dismas Ten Monday, May 07, 2012 No comments

Kufutia kichapo  cha  mabao 5-0  walichokipata  Yanga  katika  mchezo wa  kuhitimiahs  Ligu kuu ya Tanzania Bara 2011/12, msemaji wa kalabu hiyo yenye makao makuu yake  mtaa wa jangwani jijini Dar  Louis  Sendeu amesema  wamekubari kipigo hicho  na wanajipanga upya kwa ajili ya msimu ujao.




Akizungumza na blog hii mida mfupi mara  baada ya kumalizika kwa  mchezo huo uliopigwa kwenye uwanja wa Taifa , Sendeu alisema  kuwa hakika  wamekuwa na msimu mbaya  na kifupi wamkubari kichapo  hicho kutoka  kwa watani zao.

"Mwenyewe Umeona  siwezi kusema  lolote wala  kumsingizia  mtu, tumekubari kufungwa na  tunajipanga  kwa msimu ujao" alisema  sendeu

0 COMMENTS:

TAFUTA HAPA

UNGANA NASI

Delicious Digg Facebook Favorites More Stumbleupon Twitter